Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Lượt xem
• 29 Tháng Mười 2022
0
0
Nhúng
Fakty Jebać fałsz
13 Người đăng ký
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Cho xem nhiều hơn
Bình luận trên Facebook
SORT BY-
Nhận xét hàng đầu
-
Bình luận mới nhất