Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Pogledi
• 29 Listopad 2022
0
0
Ugraditi
Fakty Jebać fałsz
13 Pretplatnici
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Prikaži više
Komentari na Facebooku
SORT BY-
Najbolji komentari
-
Najnoviji komentari