Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Vues
• 29 Octobre 2022
0
0
Intégrer
Fakty Jebać fałsz
13 Les abonnés
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Montre plus
Commentaires de Facebook
SORT BY-
Meilleures Commentaires
-
Derniers Commentaires