close

Please download Streambang Messenger Only Here

Faida na hasara za mbegu za kisasa za GMO

1 Views • 29 October 2022
Share
Embed
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 Subscribers
13

Pengine umesikia kuhusu uhandisi jeni wa vyakula (GMO) na unaweza ukawa unajiuliza inahusu nini, hapa tunakueleza.

GMO ni kiumbe chochote kilicho hai ambacho vinasaba vyake (DNA) vimebadilishwa kwa kutumia uhandisi jeni.

Hii inaweza kuwa mmea, mnyama (pamoja na wanadamu) au bakteria na kwa kawaida hufanywa ili kutambulisha sifa inayohitajika katika kiumbe, kama vile matunda makubwa au kustahimili ukame.

Mwanahabari Paula Odek anatufafanulia zaidi

#bbcswahili #kenya #gmo

Show more
0 Comments sort Sort By
Facebook Comments