close

Please download Streambang Messenger Only Here

watermark logo

Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO

1 مناظر • 29 اکتوبر 2022
بانٹیں
ایمبیڈ
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 سبسکرائبرز
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.

مزید دکھائیں
0 تبصرے sort ترتیب دیں
فیس بک کے تبصرے