Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Visningar
• 29 Oktober 2022
0
0
Bädda in
Fakty Jebać fałsz
13 Prenumeranter
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Visa mer
Facebook-kommentarer
SORT BY-
Toppkommentarer
-
Senaste kommentarerna