Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 ビュー
• 29 10月 2022
0
0
埋め込む
Fakty Jebać fałsz
13 加入者
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
もっと見せる
フェイスブックのコメント
SORT BY-
トップコメント
-
最新のコメント