Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Visualizações
• 29 Outubro 2022
0
0
Embutir
Fakty Jebać fałsz
13 Assinantes
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Mostre mais
Comentários do Facebook
SORT BY-
Melhores Comentários
-
Últimos Comentários