Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 vistas
• 29 Octubre 2022
0
0
Empotrar
Fakty Jebać fałsz
13 Suscriptores
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Mostrar más
Comentarios de Facebook
SORT BY-
Top Comentarios
-
Últimos comentarios