Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Görünümler
• 29 Ekim 2022
0
0
gömmek
Fakty Jebać fałsz
13 Aboneler
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Daha fazla göster
Facebook Yorumları
SORT BY-
En Çok Yorumlananlar
-
Son Yorumlar