close

Please download Streambang Messenger Only Here

watermark logo

Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO

1 Görünümler • 29 Ekim 2022
Pay
gömmek
Fakty Jebać fałsz
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.

Daha fazla göster
0 Yorumlar sort Göre sırala
Facebook Yorumları