Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 צפיות
• 29 אוֹקְטוֹבֶּר 2022
0
0
לְשַׁבֵּץ
Fakty Jebać fałsz
13 מנויים
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
להראות יותר
תגובות בפייסבוק
SORT BY-
תגובות ראשיות
-
תגובות אחרונות