Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Visualizzazioni
• 29 Ottobre 2022
0
0
Incorporare
Fakty Jebać fałsz
13 Iscritti
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Mostra di più
Commenti su Facebook
SORT BY-
I migliori commenti
-
Ultimi commenti