Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Bekeken
• 29 Oktober 2022
0
0
insluiten
Fakty Jebać fałsz
13 abonnees
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Laat meer zien
Facebook Reacties
SORT BY-
Top Reacties
-
Laatste Reacties