close

Please download Streambang Messenger Only Here

Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO

1 Visninger • 29 Oktober 2022
Del
Indlejre
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 Abonnenter
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.

Vis mere
0 Kommentarer sort Sorter efter
Facebook kommentarer