close

Please download Streambang Messenger Only Here

Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO

1 Wyświetleń • 29 Październik 2022
Udostępnij
kod umieszczania
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 Subskrypcji
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.

Pokaż więcej
0 Komentarze sort Sortuj wg
Facebook komentarze