Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Wyświetleń
• 29 Październik 2022
0
0
kod umieszczania
Fakty Jebać fałsz
13 Subskrypcji
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Pokaż więcej
Facebook komentarze
SORT BY-
Najlepsze komentarze
-
Ostatnie komentarze