Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Просмотры
• 29 Октябрь 2022
0
0
встраивать
Fakty Jebać fałsz
13 Подписчики
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Показать больше
Комментарии Facebook
SORT BY-
Лучшие комментарии
-
Последние комментарии