Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO
1 Mga view
• 29 Oktubre 2022
0
0
I-embed
Fakty Jebać fałsz
13 Mga subscriber
Wakulima wa mahindi humu nchini wataweza kupata mbegu zilizozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kisaki au GMO. Taasisi ya kitaifa kuhusu usalama wa bayoteknolojia inasema kuwa tayari mbegu za aina mbalimbali ya mahindi zimeidhinishwa. Mahindi hayo yatakuwa na uwezo wa kuhimili ukame, wadudu na magonjwa.
Magpakita ng higit pa
Mga Komento sa Facebook
SORT BY-
Mga Nangungunang Komento
-
Pinakabagong komento