Faida na hasara za mbegu za kisasa za GMO
1 Wyświetleń
• 29 Październik 2022
0
0
kod umieszczania
Fakty Jebać fałsz
13 Subskrypcji
Pengine umesikia kuhusu uhandisi jeni wa vyakula (GMO) na unaweza ukawa unajiuliza inahusu nini, hapa tunakueleza.
GMO ni kiumbe chochote kilicho hai ambacho vinasaba vyake (DNA) vimebadilishwa kwa kutumia uhandisi jeni.
Hii inaweza kuwa mmea, mnyama (pamoja na wanadamu) au bakteria na kwa kawaida hufanywa ili kutambulisha sifa inayohitajika katika kiumbe, kama vile matunda makubwa au kustahimili ukame.
Mwanahabari Paula Odek anatufafanulia zaidi
#bbcswahili #kenya #gmo
Pokaż więcej
Facebook komentarze
SORT BY-
Najlepsze komentarze
-
Ostatnie komentarze