Wakulima kaunti ya Makueni wapata mafunzo kuhusu mbegu za GMO
0 مناظر
• 29 اکتوبر 2022
0
0
ایمبیڈ
Fakty Jebać fałsz
13 سبسکرائبرز
Wakulima kutoka kaunti ya Makueni wanapokea mafunzo kuhusu athari ya kilimo cha kisaki au teknolojia ya GMO na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Aidha wakulima wanashauriwa kupanda mbegu zinazoweza kuhimili ukame ili kupata mazao
مزید دکھائیں
فیس بک کے تبصرے
SORT BY-
سرفہرست تبصرے
-
تازہ ترین تبصرے