Wakulima kaunti ya Makueni wapata mafunzo kuhusu mbegu za GMO
0 Ansichten
• 29 Oktober 2022
0
0
Einbetten
Fakty Jebać fałsz
13 Abonnenten
Wakulima kutoka kaunti ya Makueni wanapokea mafunzo kuhusu athari ya kilimo cha kisaki au teknolojia ya GMO na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Aidha wakulima wanashauriwa kupanda mbegu zinazoweza kuhimili ukame ili kupata mazao
Zeig mehr
Facebook Kommentare
SORT BY-
Beste Kommentare
-
Neueste Kommentare