Wakulima kaunti ya Makueni wapata mafunzo kuhusu mbegu za GMO
0 Visualizações
• 29 Outubro 2022
0
0
Embutir
Fakty Jebać fałsz
13 Assinantes
Wakulima kutoka kaunti ya Makueni wanapokea mafunzo kuhusu athari ya kilimo cha kisaki au teknolojia ya GMO na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Aidha wakulima wanashauriwa kupanda mbegu zinazoweza kuhimili ukame ili kupata mazao
Mostre mais
Comentários do Facebook
SORT BY-
Melhores Comentários
-
Últimos Comentários