Wakulima kaunti ya Makueni wapata mafunzo kuhusu mbegu za GMO
0 Görünümler
• 29 Ekim 2022
0
0
gömmek
Fakty Jebać fałsz
13 Aboneler
Wakulima kutoka kaunti ya Makueni wanapokea mafunzo kuhusu athari ya kilimo cha kisaki au teknolojia ya GMO na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Aidha wakulima wanashauriwa kupanda mbegu zinazoweza kuhimili ukame ili kupata mazao
Daha fazla göster
Facebook Yorumları
SORT BY-
En Çok Yorumlananlar
-
Son Yorumlar