| KILIMO BIASHARA | Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO mwaka ujao
1 Visningar
• 29 Oktober 2022
0
0
Bädda in
Fakty Jebać fałsz
13 Prenumeranter
Wakulima wa mahindi humu nchini wanatarajiwa kupata mbegu zilizoimarishwa kupitia teknolojia ya GMO kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO, ambao wamemaliza majaribio kwa mahindi haya ya bayoteknolojia. Mengi ni katika makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara.
#DenisOtieno #KilimoBiashara
Visa mer
Facebook-kommentarer
SORT BY-
Toppkommentarer
-
Senaste kommentarerna