| KILIMO BIASHARA | Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO mwaka ujao
1 Mga view
• 29 Oktubre 2022
0
0
I-embed
Fakty Jebać fałsz
13 Mga subscriber
Wakulima wa mahindi humu nchini wanatarajiwa kupata mbegu zilizoimarishwa kupitia teknolojia ya GMO kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO, ambao wamemaliza majaribio kwa mahindi haya ya bayoteknolojia. Mengi ni katika makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara.
#DenisOtieno #KilimoBiashara
Magpakita ng higit pa
Mga Komento sa Facebook
SORT BY-
Mga Nangungunang Komento
-
Pinakabagong komento