close

Please download Streambang Messenger Only Here

| KILIMO BIASHARA | Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO mwaka ujao

1 意见 • 29 十月 2022
分享
嵌入
Fakty Jebać fałsz
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wanatarajiwa kupata mbegu zilizoimarishwa kupitia teknolojia ya GMO kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO, ambao wamemaliza majaribio kwa mahindi haya ya bayoteknolojia. Mengi ni katika makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara.
#DenisOtieno #KilimoBiashara

显示更多
0 注释 sort 排序方式
脸书评论