close

Please download Streambang Messenger Only Here

watermark logo

| KILIMO BIASHARA | Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO mwaka ujao

1 vistas • 29 Octubre 2022
Compartir
Empotrar
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 Suscriptores
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wanatarajiwa kupata mbegu zilizoimarishwa kupitia teknolojia ya GMO kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO, ambao wamemaliza majaribio kwa mahindi haya ya bayoteknolojia. Mengi ni katika makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara.
#DenisOtieno #KilimoBiashara

Mostrar más
0 Comentarios sort Ordenar por
Comentarios de Facebook