close

Please download Streambang Messenger Only Here

| KILIMO BIASHARA | Wakulima wa mahindi kupata mbegu za GMO mwaka ujao

1 Tampilan • 29 Oktober 2022
Membagikan
Menanamkan
Fakty Jebać fałsz
Fakty Jebać fałsz
13 Pelanggan
13

Wakulima wa mahindi humu nchini wanatarajiwa kupata mbegu zilizoimarishwa kupitia teknolojia ya GMO kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO, ambao wamemaliza majaribio kwa mahindi haya ya bayoteknolojia. Mengi ni katika makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara.
#DenisOtieno #KilimoBiashara

Menampilkan lebih banyak
0 Komentar sort Sortir dengan
Komentar Facebook