Kenya yaruhusu GMO | Serikali yaondoa marufuku ya uingizaji vyakula hivi
5 Wyświetleń
• 29 Październik 2022
0
0
kod umieszczania
Fakty Jebać fałsz
13 Subskrypcji
Serikali ya Kenya hii leo imeondolea mbali marufuku dhidi ya vyakula vya kisaki au GMO, ikiruhusu kuingizwa nchini kwa vyakula na mimea iliyokuzwa kwa kubadilisha mfumo halisi wa jeni.
Kwenye taarifa baada ya kikao hicho kilichoongozwa na rais William Ruto katika ikulu ya Nairobi, serikali inasema imezingatia ushauri na mapendekezo kutoka kwa asasi mbalimbali na kufikia uamuzi huo ambao sasa unatoa idhini kwa wakulima kufanya kilimo cha mahindi na vile vile pamba ya kisaki.
Pokaż więcej
Facebook komentarze
SORT BY-
Najlepsze komentarze
-
Ostatnie komentarze