close

Please download Streambang Messenger Only Here

Kinara wa Azimio azidi kukosoa serikali kwa GMO

43 意见 • 29 十月 2022
分享
嵌入
Fakty Jebać fałsz
13

Kinara wa azimio la umoja One Kenya Raila Odinga hii leo ameikosoa serikali ya William Ruto, kuhusu uamuzi wa kutoa idhini ya matumizi na upanzi wa vyakula vya kisaki yaani GMO
Katika taarifa iliyochapishwa hii leo, Odinga alimsuta rais kwa kupatia kijicho suala la ukame nchini, huku akidai kuwa matumizi ya vyakula hivyo vya GMO huenda ukaleta madhara zaidi kuliko faida, haswa wakati huu ambapo taifa la Kenya linakumbwa na baa la njaa

显示更多
0 注释 sort 排序方式
脸书评论